Kwa mahitaji ya vyakula bora vya mbwa na paka,,fika ofisini kwetu ujipatie vyakula bora vya makampuni mbalimbali..Karibuni sana..
Je unajua yanayojiri katika ulimwengu wa tekinolojia ya wanyama wa kufugwa? Kuhusu haya na mengine mengi,,wasiliana nasi kupitia namba 0652312236/0714414144 tuzungumze..
Kama unahitaji incubator za kutotoleshea mayai wasiliana nasi kwa namba 0710636436
Dr @joachim_lukwala from @wananchi_vet_center sharing his experience after being part of Training of trainer(ToT) project organized by @aereshogeschooldronten & @kukua.na.kuku to enhance modern poultry farming in Tanzania
-----------
Dr @joachim_lukwala kutoka kituo cha kutoa Huduma za mifugo @wananchi_vet_center akielezea kile alichojifunza kutoka kwenye mafunzo yaliyoandaliwa na chuo cha @aereshogeschooldronten & @kukua.na.kuku kwa ajili ya kuchochea ufugaji wa kisasa Inchini Tanzania
#kukuanakuku #kukuwanyama #kukuwamayai #layers #Broilers #ufugajiwakukukisasa #ufugajiwakukukibiashara #doktawamifugo #veterinarian #kukuwakisasa #kuku #sisitunawatu #kigamboni #daressalaam #mifugo #ufugaji
Part 2
Dr @joachim_lukwala akilezea kile alichojifunza kutoka kwenye mafunzo ya @kukua.na.kuku
Dr @joachim_lukwala kutoka @wananchi_vet_center akielezea kile alichojifunza kutoka kwenye mafunzo ya Ufugaji yaliyoandaliwa na Chuo cha Aeres cha Uholanzi kwa kushirikiana na @kukua.na.kuku. ili kuchochea ufugaji wa kuku kwa njia za kisasa Nchini Tanzania
-------
Dr @joachim Lukwala from @wananchi_vet_center sharing his experience after being part of training of trainers project organized by Aeres University & @kukua.na.kuku to enhance modern poultry farming in Tanzania
#kukuanakuku #aeres #kukuwanyama #kukuwamayai #Broilers #layers #chotara #sasso #kroiler #mafunzoyaufugajikuku #ufugajiwakukukisasa #fuganasi #ufugajiwakukukibiashara
#kigamboni #DSM #daressalaam