27/07/2019
ULIZA UJIBIWE 14 SWALI: Ndugu Haji Ally wa Gando, Pemba anauliza, Ng’ombe wangu anaumwa na ameonyesha dalili za kukojoa damu. Nilijaribu kupata ushauri wa afisa mifugo aliye karibu yangu ambaye baadaye alimhudumia mnyama wangu lakini tatizo limeendelea na sasa imempunguzia uwezo wake wa kuzalisha maziwa. Tafadhali nishauri namna ambavyo nitaweza kumtibu. JIBU: Kutokwa mkojo uliochanganyikana na damu ni dhahiri husababishwa na aina mbalimbali za bakteria, virusi na vijidudu nyemelezi, uvimbe mwilini au hata sumu mwilini. [ 266 more words ]
http://farmersmarket.co.tz/uliza-ujibiwe-14/
ULIZA UJIBIWE 14 SWALI: Ndugu Haji Ally wa Gando, Pemba anauliza, Ng’ombe wangu anaumwa na ameonyesha dalili za kukojoa damu.